Namna ya kujiunga
Namna ya Kujiunga na Chama
Mtumishi yeyote wa Shirika la umeme nchini Tanzania anaweza kujiunga na chama hiki kwa kiingilio cha Tshs 85,000/= na kuanza kununua hisa kidogokidogo au kwa mkupuo kadiri ya uwezo wake mpaka atakapomaliza Idadi ya hisa zote zinazohitajika kwa ajili ya umiliki wa chama na atakapomaliza atapatiwa Cheti Cha Umiliki wa Hisa TANESCO MBEYA SACCOS LTD.
Pakua Fomu za kujiunga hapa chini
| Title | Type | Size | Updated | Link |
|---|---|---|---|---|
|
pdf |
424 KB |
May 29, 2025 |
||
|
pdf |
350 KB |
Jan 14, 2025 |
||
|
pdf |
381 KB |
Jan 14, 2025 |
